Isaiah 57:9

9 aUlikwenda kwa Moleki
Moleki alikuwa mungu aliyekuwa anaabudiwa na Waamoni; pia alijulikana kama Malkomu, Maloki au Kemoshi wa Moabu.
ukiwa na mafuta ya zeituni,
na ukaongeza manukato yako.
Ukawatuma wajumbe wako mbali sana,
ukashuka kwenye kaburi
Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
lenyewe!
Copyright information for SwhNEN